Bwana asema...
"... wala msihuzunike; kwa kuwa furaha ya Bwana ni nguvu zenu."
★~Nehemia 8: 10.
~Sikia neno la Bwana usihuzunike.
Huzuni huondoa nguvu.
~Furaha ya Bwana ndiyo Nguvu yako.
Ni maombi yangu Furaha ya Bwana iwe pamoja nawe haijalishi mahali unapitia. Huzuni uliyo nayo Bwana Yesu aichukuwe na Umpatie huzuni yako. Furaha ya Bwana iwe pamoja nawe na Maana ndiyo Nguvu zako.
Ubarikiwe.
______________
Minister: Enoch Joseph
Life word Teaching Ministry.
★2017.
"It is the Spirit who gives life; the flesh profits nothing. The words that I speak to you are spirit, and they are life." ~John 6:63
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Urithi wa watumishi wa Mungu
URITHI WA WATUMISHI WA MUNGU. ------------------------------------------------------------ Hii wengi hawafahamu lakini leo fahamu japo k...

-
Bwana Yesu asifiwe sana! Leo nataka tujifunze juu ya “Mwongozo wa kutafakari na kuombea ndoto zenye UZINIFU AU UASHERATI ndani yake”....
-
SEMINA YA NENO LA MUNGU UWANJA WA TANGANYIKA PACKERS - DAR ES SALAAM MWL.CHRISTOPHER MWAKASEGE TAREHE 15 OKTOBA 2017 *SIKU YA NA...
-
Ninyi wenye kumkumbusha Bwana Juu ya Mambo yahusuyo, Maisha yenu, Familia zenu, Koo zenu, na Jamii zenu Msiwe na Kimya mpaka atakapo f...
No comments:
Post a Comment