Wednesday, 13 December 2017

Furahini sikuzote.

Bwana asema...

"... wala msihuzunike; kwa kuwa furaha ya Bwana ni nguvu zenu."
       ★~Nehemia 8: 10.

~Sikia neno la Bwana  usihuzunike.
   Huzuni huondoa nguvu.

~Furaha ya Bwana ndiyo Nguvu yako.

Ni maombi yangu Furaha ya Bwana iwe pamoja nawe haijalishi mahali unapitia. Huzuni uliyo nayo Bwana Yesu aichukuwe na Umpatie huzuni yako. Furaha ya Bwana iwe pamoja nawe na Maana ndiyo Nguvu zako.

Ubarikiwe.

______________

Minister: Enoch Joseph
Life word Teaching Ministry.
    ★2017.

No comments:

Post a Comment

Urithi wa watumishi wa Mungu

URITHI WA WATUMISHI WA MUNGU. ------------------------------------------------------------ Hii wengi hawafahamu lakini leo fahamu japo k...